Akisema, atatenda
Ni jambo gani hilo alokuahidi we
Si mwanadamu, adanganye
Yesu, jina lake
Ahadi zake, huyu Yesu
Zitatimia, Huyu Yesu
Si mwanadamu, adanganye
Yesu jina lake
Akiahidi, ni mwaminifu
Kwa kweli njia zake, si kama zetu
Ni mwaminifu, ni mwaminifu
Yesu, Jina lake
Ahadi zake, huyu Yesu
Zitatimia, Huyu Yesu
Si mwanadamu, adanganye
Yesu jina lake